Jamani mziki ndio huu sio sasa kelele nyingi
Sikujui hunijui Ila nakuombea Kher wewe na Familiaa yakoooo
Nilishindwa kumuambia. Ni kitambo lakini na ilikuwa time hii song ilikuwa released
Why chid๐ข my heart is hearting, chid benz is so talented, he is a pure talent, duh can someone do something plz๐น๐ฟ.
Huu wimbo hauchuji miaka nenda miaka rudi.I miss this eraโคโคโคโคโค
Chidi to the benz is the GOAT of tz rap.๐ฏ
Latiffah toka 2024 tuko pamoja toka ๐จ๐ฉ DRCongo , spark alishaka enda wapi aise
Huu kipindi hicho ndo ilikuwa kubwa kuliko jmn daaah mlijua sana ๐โคโคโคโค๐
Dah nimekumbuka mbali sana, muda ni kitu cha ajabu sana. Bonge ya ngoma.
Kazi safi inaishi
Si kwamba siwezi bila ww no Naweza ishi bila ww ila tatzo rohoโคโค chidy๐ฎ October 3 2024
Merry popote ulipo nimeoa lakini nikiskiza huu wimbo nakumbuka ata tulipokaa pale Florian sec nikijaribu kukufanya uwe wangu peke yangu ila ndo ivo haijawa rizki umeolewa nimeoa!! Nakukumbuka sana merry wangu
Dec 2024 nikiaga mwaka na wimbo huu ๐
Mbaka leo naisikiya 2024
Ndio naanza mahusiano yangu na mpenzi wangu... Ila full painful... Ngoma kali sana.. Wanawake sio watu wa kuaminika kivile... Pipi ya kijiti tu ishamptoa akili..
Wow nilikuwa tarasa4 ๐ฅ๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Remember this guy he's good musician pleas comeback spark
Kitambo kidogo ili goma linanikumbusha mengi,so nostalgic indeed.
niko congo Drc iyi wimbo imenikumbusha mengi sana Mungu endelea kulinda awa wasani wazuri enzi iyi walifanya kazi kabisa ๐๐
@JayOchieng1